Thursday, July 21, 2016

YAHAYA lyrics by Lady Jaydee

[Chorus]
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya, Oh Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya

[Verse 1]
Huyu kijana mwenzetu, kila siku tupo nae maskani
Anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani
Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae
Anavyozuga, anavyopita, si umdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina
Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
Longo longo nyingi

[Chorus]
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya, Oh Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya

[Verse 2]
Kwa story za vilingeni, utafikiri kweli yeye ndio boss
Suruali zake na mashati, utasema anafanya kazi bank
Mara anasema usalama wa taifa, hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya, usomdhaniae
Na hafanii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina
Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
Ooooh Yahaya

[Chorus]
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya, Oh Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya

[Bridge]
Mara anasema usalama wa Taifa
Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya, usomdhaniae
Na hafanii kabisa na fix anazo fanya
Akidanganya kwa kina, unaingia
kingi unafuata, kumbe hana helaa

[Chorus]
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya, Oh Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani
Yahaya eeh
Oh Yahaya, Oh Yahaya

No comments:

Post a Comment