Monday, July 25, 2016

PII PII lyrics by Marlaw

[Verse 1]
Ninataka niwahi kufika
Njia inajam sasa wapi nitapita
Nimekaa karibia saa sita
Sasa kukaa nimechoka oh baby
Sijamwona long time now
Nimerudi toka mwezi jana
Nimeshakwambia mama nimefika tangu mchana
Anajua nimeshafika, ameshapika, amekasirika
Alipika tangu mchana, ila sasa lunch imegeuka dinner

[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby

[Bridge]
Ah ah, kuna jam baby
Ah ahh, hello
Ah ahh, hello
Ah ahh, hello

[Verse 2]
Unanikatia simu unanionea
Wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa
Unanikatia simu unanionea
Wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa
Nakuomba mpenzi ungojee
Ni njiani naja niombee
Nimechoka nakuja tule, huruma nionee
Nakuomba mpenzi ungojee
Ni njiani naja niombee
Nimechoka nakuja tule, huruma nionee

[Bridge 2] x2
Nimechoka kungoja highway
Nitapita popote imradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (pii pii, hatuelewani)

[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby

[Bridge 1]
Ah ah (oh), I love you so much
Ah ahh, I love you mama
Ah ah, I love you mamaa

[Bridge 2] x2
Nimechoka kungoja highway
Nitapita popote imradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (pii pii, hatuelewani)

[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby

[Outro]
I love you so much, I love you Mama
I love you mama
I love you so much, I love you Mama
I love you mama

My baby, my baby
My baby, my baby
My baby, my baby

No comments:

Post a Comment