Thursday, July 21, 2016

WANASHINDWA LALA lyrics by Bushoke

[Verse 1]
Watu wanachonga wanasema mengi mengi
Tena wanataka kuona meli haisongi
Yaani wanalonga, longa sana mengi sichongi
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma mama

[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma

[Verse 2]
Inawachoma sana hawajui hata ni vipi tulikutana
Wanashangaa kuona eti vile nakupenda sana
Nawashangaa hawa jama wanasema umenipeleka kwa sangoma
Hayo ya nini wakati mapenzi anapanga Maulana
Wameanza tena

[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma

[Verse 3]
Inawachoma sana juzi nimekununulia doti ya khanga
Italeta uhasama siku nitakayo kununulia Bima
Wanakata matawi nimeshikilia mizizi na shina
Mama wewe ninavyokupenda muulize Mwakachila

[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma

(Kukupenda wewe inawachoma) x6

[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma

No comments:

Post a Comment