[Verse 1]
Watu wanachonga wanasema mengi mengi
Tena wanataka kuona meli haisongi
Yaani wanalonga, longa sana mengi sichongi
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma mama
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
[Verse 2]
Inawachoma sana hawajui hata ni vipi tulikutana
Wanashangaa kuona eti vile nakupenda sana
Nawashangaa hawa jama wanasema umenipeleka kwa sangoma
Hayo ya nini wakati mapenzi anapanga Maulana
Wameanza tena
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
[Verse 3]
Inawachoma sana juzi nimekununulia doti ya khanga
Italeta uhasama siku nitakayo kununulia Bima
Wanakata matawi nimeshikilia mizizi na shina
Mama wewe ninavyokupenda muulize Mwakachila
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
(Kukupenda wewe inawachoma) x6
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
No comments:
Post a Comment