Thursday, July 21, 2016

NASHINDWA lyrics by Christian Bella

[Intro]
Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee
Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee

[Bridge]
Mie mie mie
Mie mie mie mie
Mie mie mie
Mie mie mie mie

[Verse 1]
Mbona kama unanionea
Haya mapenzi gani kila siku lazima nibembeleze
Lini sasa mpenzi wangu na we utanibembeleza?
Na mimi nisikie unavyosikiaga nikikubembeleza
Ona kaneno ‘mapenzi’ kaneno kafupi
Kana mambo mengi unaempenda atakuzingua
Si bora angesema hata mapema ameniacha nimezama
Kutoka sasa..

[Chorus]
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Ale kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeye)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh

[Verse 2]
Angejua kabisa ninavyompenda
Sijawahi kupenda ndo yeye wa kwanza ananizuzua
Si bora angesema hata mapema
Ameniacha nimezama
Kutoka sasa…

[Chorus]
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeyee)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh
Julilala lalaa

[Bridge]
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi)
Mie mie mie (mimi, mimi)
Mie mie mie mie
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi eeh)
Mie mie mie (mimi, mimi, miee)

[Verse 3]
Ghafla tu anafunga virago
Namuuliza hataki kusema tatizo ni nini
Sijui kuna shida gani
Haya mapenzi lawama kila siku mimi
Tulia mama mi ni wako nakupenda sana
Usihangaike, usibabaike
Na wale maadui nataka wabaki na aibu

[Pre-Chorus]
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Embu punguza maringo na mapozi nakupenda
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Darle punguza maringo na mapozi nakupenda

[Chorus 2]
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Mi ndo dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Iyee (iyeeh)
Mamie (mamiee)
Iyee
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)

[Bridge 2]
Ale we ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Ale punguza maringo na mapozi nakupenda
Wewe ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Mpenzi oh punguza maringo na mapozi nakupenda

[Outro]
Iyeeh (eeh)
Mamie (mamiee)
Iyee ehh
We ndo mamie (honey eh)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyeeh, iyeee
Iyeee mamie (mamie)
Eeh mamie (mamie)
Mi ndo dadiie (dadie)
Iyee iyeee
Ale we ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako
Mamie (mamiee)
We ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako, mamaee

No comments:

Post a Comment