Thursday, July 14, 2016

ONE TIME lyrics by Rich Mavoko

Nipate kamba tuongee

Hata mbali twende

Nataka me nikueleze

Mapenzi ni kitovu cha uzembe

Usilete mawenge utafanya wanizomee

Uwe mpogole mmakonde me nataka nikuoe

CHORUS

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Sikurogi na pembe

Me nataka unipende

Utamu wa peremende

Hasa za pwani na tende

Zile za unyama unyamani niwe kwako ndio ni jembe

Anitake nani kama hutaki niende

CHORUS

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Bridge

Nataka tuongee tuongee oleba olebaba

Nataka tuonge tuongee olo babao

Nataka tuongee tuongee oleba olebaba

Nataka tuonge tuongee olo babao

CHORUS

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee

Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje

Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Nataka tuongee me na wewe time

Basi nipe one time (x2)

No comments:

Post a Comment