Thursday, July 14, 2016

NAJUTIA UPENDO lyrics by Rich Mavoko

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

Verse 1
Ulimi ulikosa, kwa matamshi machafu machafu sana

Penzi limekufa, limeshaliwa na wafu inaniuma sana

Unaamini kwamba, ukipandacho ni sumu ndani ya moyo wako

Labda ungejifunga, usingejilaumu ndani ya penzi lako

Zile ndoto za mchana aaah

Kwa kudanganywa utapendwa aaah

Kwa marefu na mapana aaah

Ona yule mi nakwenda aaah

Zile ndoto za mchana

Kwa kudanganywa utapendwa

Kwa marefu na mapana

Ona yule mi nakwenda hey!

CHORUS

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

Verse 2
Uliukimbiza upepo, kwa kujua nini utapata

Umeambulia mateso, moyo umebaki unajaka

Kama Kinyonga tabia zangu, kila siku nabadilika

Hukuyaelewa matendo yangu, si kwa kiangazi wala masika

Ukavunja na ukimya aah

Ukasema hisia zako aah

Mwenzako mbona nipo kimya aah

Ooh! Nalia na penzi lako aah

CHORUS

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

Najutia upendo, maana kutendwa ni maumivu

Moyoni n’na pengo, kitovu cha mapenzi kweli ni wivu

No comments:

Post a Comment