Tubonge, Chameleone anaomba tubonge
Mungu Baba, we long de
Gospel time now, ooh Lord
Verse 1
Mi na wewe wa kweli, katika wote ninaye ni wewe
Ana nipenda Chamili, bila kipimo unanipenda hakuna kiasi
Ningependa nikuone nikupe, vyote vyangu, nikupe chochote
Unachotaka chochote upate, lakini sina namna ya ku kupata
Bridge
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura yako uli ificha!
CHORUS
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo i don’t know what to do, to do, i’m waiting for you
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Verse 2
Rafiki ninemupa sasa tuuzo, anaa siri zangu nyingi si ogopi mateso
Hao wabishi hawanitishi na mawazo, ninae ninae
Nkiwa kwangu sasa misitaki fujo, nikiwa naye yesio kupiga devil
Paddy man ongeza bass na treble, nimtajje kama ninae ntampata naazo
Bridge
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura yako uli ificha!
CHORUS
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo i don’t know what to do, to do, i’m waiting for you
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Tubonge, Chameleone anaomba tubonge
Mungu Baba, we long de
Gospel time now, ooh Lord
Verse 3
Njo nikupe kyoyote unataka, hatuja kutana mina fufata
Njo… nikukaribishe kwangu, njo… nikupikie chakula taamu
Naomba nikuwoneshe na wato wangu, njo… nikuwoneshe baba, mama wangu
Nikuwoneshe marafiki zangu, name na moyo wangu
Bridge
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura yako uli ificha!
CHORUS
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo i don’t know what to do, to do, i’m waiting for you
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo i don’t know what to do, to do, i’m waiting for you
Njoo nimesubiri sana lini tutaonana
Njoo rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
No comments:
Post a Comment