Wednesday, July 13, 2016

NIPE NIKUPE lyrics by AY &Prezzo

  (CHORUS) (AY)
nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

(AY)
come baby, come baby...
njoo upate mambo matam toka kwangu
njoo upate true love na mashamsham
sio thamini wakwe na napenda uwe wangu tu
nikiona wanaleta uchochezi
hawana nia njema kama mi achana nao
blam blam
wacha wana-hum
fanya nao meme wabaya wakate steam
hiki vilivyo
nipe mambo nidate nikupe
yangu hadi mda ndio nikufe

  (CHORUS) (AY)
nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

(Prezzo)
nipe nikupe na raha tupate
njoo songea karibu nikupe mate baby
nataka uwe my one and only
kila napokaa nakuwaza tu shorty
believe me kwako wewe nimedata
najua kwangu mimi hata wewe umenata
anza kukata
kukata the catwalk
I like the way you smile, your lips, the way you talk
napenda unavyo-shake behind, this ain't no joke
so wacha nikupe, mapenzi tele
na wenye wivu wajinyonge
wacha nikupe
raha mpaka che
mimi na wewe tu
maisha milele
so wacha nikupe, mapenzi tele
na wenye wivu wajinyonge
so wacha nikupe, wacha nikupe

(CHORUS)  (AY)
nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

Hoo!
siwe na shaka
gyal, kwako nimeridhika
vumilia hali yangu nilo nayo
naamini ipo siku tutafika

hoo!
siwe na shaka
gyal, kwako nimeridhika
vumilia hali yangu nilo nayo
naamini ipo siku tutafika

kiuno 'navyo kikata
mpaka nadata
kiuno 'navyo kikata
mpaka nadata

kiuno anakata
mpaka nadata
mpaka wengine wanasema umenipa lingwata
songea karibu ma
nipe nikupe naye kwa dhati nakupenda sa
ingawa kuna wengine hawapendi kutuona hao
'sijali nikupe raha
nami nikupe raha

  (CHORUS) (AY)
nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

nipe nikupe
raha tupate
njoo upate mambo matam toka kwangu

No comments:

Post a Comment