[Chorus]
Kweli nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (oh mama)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (oh mama)
Huyo ana matatizo (matatizo)
Ooh nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (amini)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (mabaya)
Huyo ana matatizo (matatizo)
[Verse 1]
Sijahadithiwa mimi, naelewa
Oh sijasimuliwa mimi, naelewa
Mapenzi, mapenzi, mamaa
Mapenzi umpate anayependa
Mapenzi, mapenzi, yana raha
Mapenzi umpate anayependa
Kama mimi nampenzi, ananipenda sana
Mtoto wa kitanga jama
Ananipenda sana
Ananipa kila kitu
Hadi ambavyo sikuomba
Ananipa mambo yote
Hadi ambayo siyajui
Anionapo nawaza mimi, jamani eeh
Ye huja kuniuliza mama, jamani wooh
Anionapo nafuraha mimi, Bushoke jama
Yeye huridhika jama, oh mpenzi wangu
Nampenda sana jamani
Hata mseme nini leo
Nampenda sana mimi, oh jama nampenda
[Chorus]
Kweli nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (oh mama)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (oh mama)
Huyo ana matatizo (matatizo)
Ooh nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (amini)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (mabaya)
Huyo ana matatizo (matatizo)
[Verse 2]
Mi na wazo la kwenda, huko Amerika
Sina hata wazo mimi, la kwenda South Africa
Nikafanye nini huko? Mpenzi wangu yuko Tanzania
Nikafanye nini mimi? Mpenzi wangu yuko Tanzania
Sina wazo la kuishi Oysterbay mimi
Sina wazo la kuishi hata Masaki mimi
Nikafanye nini huko? Mpenzi wangu yupo Yombo Buza
Nikafanye nini huko? Mpenzi wangu yupo Yombo Buza
Nampenda jamani, mamaa jamani
Nampenda mimi, nampenda sana
Hakuna kitu kizuri, zaidi ya mapenzi
Hakuna kitu kizuri jama, zaidi ya mapenzi
Hata mafukara nao, wanahitaji mapenzi
Hata matajiri nao, wanataka mapenzi
Na mapenzi wanayotaka, ndio ninayopata mimi
Na mapenzi wanayotaka, ndio ninapata mimi
Nampenda mamii jama, nampenda mpenzi wangu
Hata mkisema nini, nampenda jama sana
Hata kama ye malaya, nampenda hivyo hivyo
Hata kama ye mbaya, ndicho nilichompendea mimi
Hata kama yuko vipi, naelewa mimi hihi
Uzuri wake, naelewa mimi hihi
Hata ubaya wake, nael–
Oh mamaa
[Chorus]
Kweli nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (oh mama)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (oh mama)
Huyo ana matatizo (matatizo)
Ooh nimeamini (amini)
Mapenzi yana raha (yana raha)
Nimeamini mimi (amini)
Mapenzi ni matamu (ni matamu)
Anaesema shubiri (oh mama)
Huyo hayajui (hayajui)
Anaesema mabaya (mabaya)
Huyo ana matatizo (matatizo)
No comments:
Post a Comment