Wednesday, July 13, 2016

HAWAJUI lyrics by Vanessa Mdee

Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana x2

[Verse 1]
Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
Kila siku beki leo kipa nimekudaka

[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana x2

[Verse 2]
Choko choko ndiyo mambo mliozoea
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
Mungu ndiyo ananilinda

[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Kunisema kwa ubaya
Na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana x2

[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana x2

No comments:

Post a Comment