Sunday, January 3, 2016

UTANIPENDA Lyrics by Diamond

Tantararaa...... tatarararaaaaa.......
Oh ghafla visenti sina, nimerudi tandalee..
Nimeshindwa kulipa bima, nimeuza madalee
Radio, nyimbo wamezima tv ndio hatari..
Meneja umebakia jina, nitakia tatalee
Ooh walioshabiki zangu, walionisifu kwa maneno matamuu
Leo umati zangu, ni mitusi tu kwa instagramu
Kimwana si dadangu eti naye hanifahamu, ata Harmonize nikimpigia ananifokea kama salamu

Na magazetini nyumbani kwa kukusabai si unajuaga
Utaskia atafarani kwa zari amemwagwa
Na venye nlivyomnyonge tabia ya kuwajibu sinanga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani niliopitiaga

Nayosema yanamaanaa sababu hakuna anayejua kesho
Anayepanga ni rabana ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana, mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana, ndio adui mkubwa keshoo....

   Lalalaaa..... je utanipendaga
   Lalalaaa... au nawe utanimwaga
   Lalalaaa... ati utanipenda

Oooh bado nawaza sana, vile tuzo nshaizoea pote
Itapofika tama nitajirike atachapwa kunihosti
Pindi show zimekwamaa, nikipata sijasi ni mikosi
Ooh jahazi imezama mola ninusuru baba

Kama namwona mwanangu, roho yangu Tiffah Dangote
Anakwenda na mamangu kwa jakaya kikwete
Wanafukuzwa watoke, usilie sandrangu jikaze usichoke
Wenda kesho zamumewangu ntavuma tena mambo yanyooke eeeeeiii
Na magazetini nyumbani kwa kukusabai si unajuaga
Utaskia ata farani kwa zari amemwagwa na venye nlivyomnyonge tabia ya kuwajibu sinanga
Kama naiyona michombo ya madem wa zamani walipitianga

Ninayosema yana maana, sababu hakuna anayejua kesho
Aliyepanga ni rabana ameificha ni confidential
Ukisali omba sana, usije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana,ndiye adui mkubwa wa kesho
    

7 comments:

  1. ameona mbali..thing change and thats a good question.will she stay?

    ReplyDelete
    Replies
    1. thats good thoughts couse no body knws tomorrow .DIAMOND KEEP ON , DON'T TURN DOWN here in Rwanda We Love U Indeed , dont worry u wont be lost couse, only dont lay off

      Delete
  2. Diamond We Love U Somuch there in rwanda .
    what can u tell us please?
    you who are using ths please tell diamond due to reply , i look forwad to hearing from u

    ReplyDelete
  3. Its such a nyc song,thank u so much we love u, keep up tht spirit ov inspiring us these ends ov Kampala, Uganda we love u n ur muzik. thank u!

    ReplyDelete
  4. Enter your comment...i do like this song very very much

    ReplyDelete
  5. My best from diamond, such a great talent

    ReplyDelete