Thursday, January 14, 2016

MY SWEET LOVE lyrics by Akothee ft. Diamond

You know sina ujanja, kwako nimeishona kinywa baba kwako sise(sisemi)
And you know, macho yangu kwako jeuri sina baba, kwako sihe(sihemi)
Wasijekuteka virembe, nami ukaniacha kizembe
Wakati we shamba mi jembe (you are my sweet love)
Kama upendo nyumba tujenge, nitakushonea shati kitenge
Kwa mama si twende (you are my sweet love)

Imara baby oka biwei nyakachee ×2


  (CHORUS)
Ooh baby you are my sweet love
Ooh my sweet love, you are my sweet love
Sweety number moja ×2

  Diamond
Sikuizi upendo karabai zinga upepo wasituzimie
Wakati wa vitina binadamu si unawajua, wengi walaghai
Wasije kesho wakaniibia changamwe, venye uwezo sina nikabaki naugua
Mangapi walishazusha tuzonge
Mangapiii lengo waninyang'anye tonge
Ooh mangapi yakachinja na ng'ombe kiko wapi siofande tutishilie zombe

Kwanza pilipili nauwashia nini, sirisiri yetu wewe na mimi
Wawiliwili hivi wana nini
Binadamu bwana ×2

  (CHORUS)

Kwanza pilipili yawaashia nini, sirisiri yetu wewe na mimi
Wawiliwili hivi wana nini
Binadamu bwana ×2

1 comment:

  1. Ya no te puedo decir nada porque les dicen amigos

    ReplyDelete