Tuesday, June 14, 2016

SUU lyrics by Yamoto band ft Ruby

Wee Ruby karibu mkubwa na wanawe
Haya haya ×4

Nachojua undugu ni ule wa damu, kuzaliwa tumbo moja
We na mimi hatunaga uharani, basi punguza uonga
Nitakupa mapenzi matamtam
Napendaga namba moja
Pilipili yawasha lakini tamu tunapozanga na soda
Nitamushawishi mama, amupende sana babaako
Tutakuchezea chezea, mdogo mdogo utazowea

Kupiga selfie selfie kila siku hazina maana
Nitadondosha simu makusudi, tuonekane hatuna maana ×2
Turuba initandikie, naamusha usimamie
We mtoto wa baba Eh! Eh! Eh!

Undugu kaunganusha baba, kwa mama yenu nyie
Mnapaswa muniite dada na muniheshimu mie ×2
Kweli baba anaishi kwa mama yenu
Naomba sana dada yenu munieshimu

  (CHORUS)
Hili zizi la kondoo dume
We ni apple lazima uchumwe
Acha niombe mungu kidume aye-ye-ye-ye

Suu nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Nitamwambia baba
Munanisumbua ×2

Ruby, mama kaniambia nioe-nioe-nioe
Ila mimi nataka nikuoe wewe Ruby
Ayii Ruby!
Basi punguzanga kiwewe
Niruhusu Ruby na mimi nikuite baby
Hapana aaa
Funika kombe mwana haramu apite, apite
Mimi kwako wewe nitakifanya chochote, chochote
Ruby si dada yangu kusema tumetoka wote kwa mama yangu
Ukinipenda akitokei chochote
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna
huruma
Mama anataka mjukuu, yani ni kuweka usiku
Pam Pam ru-ma
Mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma
Wouho, wouho, iyoo mama
Yo iyo, yo iyo
Iyoo mama, mame eeh!

Kwanza moja nikwambie, wewe unaendana na mie
Wengine we wakunjie, ni mimi tu niwe na wewe
Nataka kufurahisha baby, komando nitalinda kidonda
Nzi wasije fonza nitaumia
Usiku waaga vinanitoka, mi siri ya bomba nimefunguka
Nahisi waniita mwenzako pwa ka cha lishafunguka 

  (CHORUS)

2 comments: