Wednesday, August 10, 2016

WAACHE WAOANE lyrics by Chege ft Diamond Platnumz

Maji ya mtoto yamekuwa baridi lalalalaaaa

Hakimu nimekuwa shaidi lalalalaa

wiki ikishusha mateso yamezidi lalalalaa

aloniliza ndo wakunikufariji lalalaaa

Waache waoane

waache waoane

waache waoane

waache waoane

Yamedhibitisha macho

lakini moyo unakataa

Nimeamini kikulacho

Ni yule unaona anakufaa

Nilifumba mboni zangu

kwa wengine nimwone yeye tu

Nikamwanga jasho langu

Japo kidogo nile na yeye tu

mwambie awe huru wala sitolalama

ahaaaa ahaaa

sitaki kukufuru wafunge ndoa salama

ahaaa ahaaa

Waache waoane

waache waoane

waache waoane

waache waoane

Anayepanga kugawanya

uanga ni mungu baba

kato siwezi kulalama

riziki ni mafungu saba

Nimejitahidi saana

uenda sikumridhisha labda

ila kinacho nichanganya

hukuniambia labda

Tena nakupa maua wapelekee

Wasije yatupa naomba wayapokee

aah, na suna nitafunga usiku niwaombee

Awape baraka muumba watoto eeehh aaahh

Waache waoane

ohh salimini salama

waache waoane

wawe baba na mama

waache waoane

Tena naaka na

waache waoane

Akusitwa sutwa

Maji ya mtoto yamekuwa baridi lalalalaaaa

Hakimu nimekuwa shaidi lalalalaa

wiki ikishusha mateso yamezidi lalalalaa

aloniliza ndo wakunikufariji lalalaaa

Waache waoane

waache waoane

waache waoane

waache waoane

Japo moyo wangu ... kitete

Moyo wangu ,,,,, kitete

Ni haramu moyo....kitete

Taratibu nitazoea

moyo ...

moyo wangu ...kitete

mwenzenu moyo ...kitete

taratibu nitazoea.

ooh mama moyo ...kitete

moyo hii ...kitete

wangu moyo ... kitete

Taratibu mama eeh haa

No comments:

Post a Comment