Wednesday, August 24, 2016

INDE lyrics by Dully Sykes ft Harmonize

  HARMONIZE

SI sura tu bali shavu na tabia

Alivyobarikiwa ah sura na tabia

amemwona ni roho juu

akiniangalia moyo unatulia,ni uzuri wakaona.

     DULLY SYKES

I say hi, hi kwanza nafurahi

Katoja kama maabo nipe kikombe cha chai

najidai uku baby haifai, bila shy hi

kwa madai mbona wamasaa

  PRE-CHORUS

We ni baby bila kipimio,macho mpaka kisingino

nikumwagilie wino yangu sio mbilikimo X2

anacheka eh, anacheka, anadensi eh anadensi X2

    CHORUS

Inde mama, inde X4

inde mama inde X4

i say lalalala kiuno chako propeller

yako umeivisha better, uzuri mpaka unakera

in the morning unanipa bila shaka

mwingine hapana taka

kiunoni baby wacha mashaka mie hoi

mwenyewe sioni una utamu wa mata

natafuna ninavyotaka nimo jangwani nipatiwe wa arusha.

  PRE-CHORUS

We ni baby bila kipimio,macho mpaka kisingino

nikumwagilie wino yangu sio mbilikimo X2

anacheka eh, anacheka, anadensi eh anadensi X2

    CHORUS

Inde mama, inde X4

inde mama inde X4

mtoto unavyonipamba ninakwisha kabisa

waka pabaya pabaya X2

waka waka X2

waka pabaya

No comments:

Post a Comment