Tuesday, May 17, 2016

AJE (REMIX) lyrics by Alikiba ft M.I

Uchesi na sauti, amenifanya namisi tu
Mwambie asiogope, Ali ni kipenzi cha watu
Tafanya party nyumbani, hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije pekee yake, aje na wenzake
Tafanya party nyumbani, hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije pekee yake, asiogope aje na rafiki zake

  (CHORUS)
Basi mwambie ohh aje  (Aje)
Ohh aje (Aje)
Aje na rafiki zake  (Aje)
Asije pekee yake (Aje)
Ohh aje  (Aje)
Aje ohh aje  (Aje)
Aje jamani aje  (Aje)
Aje namisi aje  (Aje)

Uzuri wake timlifu, nishamwona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu, nikaomba namba bichwa kanishushwa tu
Ilinikosesha raha
Lulu naye kamdanganya, kwamba mimi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekelee, ilinikosesha raha
Lulu naye kamdanganya, kwamba mimi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekelee..
Basi mwambie aje...

  (CHORUS)

  M.I
I am gonna marry you one day (Aje)
Come to me baby girl, I just want us to speak since we met on a Monday (Aje)
You must be next one coz you make it weekly****
Forget about what you see on Nollywood films
I wanna be your best guy (Aje)
So let's try to testify what's better than them
So baby give me your digits (Aje)
Lemi Google my location come and visit (Aje)
Let's show up there's nothing exclusive (Aje)
I can come over ***
You can teach me Swahili (Aje)
Like sawasawa, mambo vipi (Aje)
Can you tell them I am feeling you really (Aje)
Alikiba and M.I baby

  (CHORUS)

1 comment: