Thursday, July 14, 2016

NAKUSEMEA lyrics by Aslay Dogo

(Chorus)

Tena inaniuma kwa sana leo

Nikitoka naenda kumwambia mama leo*2

Naenda kusema kwa mama kusema*2                                                                               

(Father's voice:wewe wewe mwanakidagala mkubwa ngalawa we)

(Verse):

Ooh Nyumbani mama

umemwachia buku

kishtobe bar umemnunulia kuku

Ukirudi nyumbani mikono mitupu

Tena kurudi kwako ni usiku

Inaniuma nasema

sinyamazi hata uninunulie nyama

(Father's voice:akununulie nan nyama utakula dagaa).

Nikitoka naenda kumwambia mama (Father's voice:usivanye ivo

Nasema nasema

(Father's voice:usivanye ivo mwanangu :

aslay:Nasema nasema

(Father's voice:we mtoto wa kiume bwana kuku kuku kuku nn shwetani we)

repeat(Chorus)

(verse)

Leo nyumbani patachimbika

Nitamwambia hadi sehemu uliyotoka

Nasema leo mbona patanuka

(Father's voice:unga nanunua mm au ww)

Namweleza mama pamoja na kaka

We baba mbona si unatutesa

Unaondoka hutuachii hata pesa

Namwambia yote yako makosa

(Father's voice:eeh utaama

Pengine utakuja kuyaacha

(Father's voice:utamponza mama ako muende kiamba mkunde)

repeat(chorus)

(Father's voice:Nyie watoto mliozaliwa wakati huu wa jakaya yupo madarakani mna shida nyie kila kitu mnajifanya mnajua

Usiku mrefu mwanangu)

Nasema nasema

Inaniuma sana

Kila siku nyumbani kugombana*2

Weiyee eeh inaniuma sana weiyee eeh kila siku kugombana*2

Poteza record

Oiye eeh

Mkubwa na wanae

Oiyee eeh till fade

picture.makavu blog
kevoo

No comments:

Post a Comment