Monday, July 25, 2016

SIKU HAZIGANDI lyrics by Lady Jaydee

[Chorus] x2
Yote mlosema, mlotenda, nasahau nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona mh mliosema
Aah nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona
Eh nimesemwa sana jamani, hamchoki?!

[Verse 1]
Nadhani hamyajali maumivu yangu moyoni
Na wala hampendi kwangu yatokee mazuri
Hata nisiowategemea, leo hii mmenigeuka
Hata nilio waheshimu, leo hii mnanihukumu
Kila mtu ana dhambi, msijihesabie haki
Kusemwa semwa sitaki, hakuna alie msafi

[Chorus] x2
Yote mlosema, mlotenda, nasahau nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona mh mliosema
Aah nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona
Eh nimesemwa sana jamani, hamchoki?!

[Verse 2]
Sijali maneno yenu kwani kuna hata magazeti
Sijali visa vyenu havifanii kwa ukweni
Ni potofu fikra zenu msokaa kufanya yenu
Kunijua sana undani siwapi tena nafasi
Ooh siku hazigandi, hata mseme mangapi
Kila mtu ana dhambi, hakuna alie msafi

[Verse 3]
Nadhani hamyajali maumivu yangu moyoni
Na wala hampendi kwangu yatokee mazuri
Hata nisiowategemea, leo hii mmenigeuka
Hata nilio waheshimu, leo hii mnanihukumu

[Chorus] x2
Yote mlosema, mlotenda, nasahau nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona mh mliosema
Aah nasonga mbele
Mangapi yamesemwa, mangapi nimeona
Eh nimesemwa sana jamani, hamchoki?!

No comments:

Post a Comment