Wednesday, July 20, 2016

KAUNYAKA Lyrics by Chege ft Mh Temba & Dj Mapholisa

Oolalala, oolalala, oolalalala
Wakati tuskize ni tena ni Chege na Temba

Putu putututu, kaunyaka

Lililizilawa, nakutaka

Wanasema unaringa, wewe unaringa

Wanasema unaringa, ringa ringa we ringa (x2)

Mi ni mpiganaji katika mapenzi nimesimama mbele kwa ajili yako

Ukinipa sisemi usinipangepangepange kwenye foleni

Ukinipa sisemi usinipa mi kwenye foleni

Ukinipa sisemi usinipangepangepange kwenye foleni

Baby gal would you come closer

I got a feeling zokutanda

I hope you know Delilah

I dont want my high catch fire *

Bora uonekane unajidai, kugawagawa haifai

Bora uonekane unajidai, honey kugawagawa haifai (x2)

Putu putututu, kaunyaka

Lililizilawa, nakutaka

Wanasema unaringa, wewe unaringa

Wanasema unaringa, ringa ringa we ringa (x2)

Le leo kumbe leo, onanana

Kumbe le le oh kumbe leo, onanana

Kumbe leo, sio mkweli huyo

Huyo tapeli huyo

Leo atakupa meli oh

Kumbe leo

Tulipotoka hata jua tunapokwenda baby nakupenda

Maonjesho ya mapenzi nayajua ya moyoni

Mvumilivu hula mbivu ila mi siwezi

Bora unipe leo kesho uninyime

Ngoja ngoja siwezi ilimshinda asilimia mwenzi mio atakachokipata

Papa, ndio ukimpa mwingine ndipo sio

Nikamwambia kipara hayuko mtoto akitanga

Kwake alieka nanga si akanipanga

Baby ntakupa meli [bahari unayo]

Baby ntakupa meli [bahari unayo]

Putu putututu, kaunyaka

Lililizilawa, nakutaka

Wanasema unaringa, wewe unaringa

Wanasema unaringa, ringa ringa we ringa (x2)

Watabwaka watatuacha tunaendelea, olala

Wataondoka watatuacha tunaendelea, olala

Wataondoka watatuacha tunaendelea, olala

Wataondoka watatuacha tunaendelea, olala

Putu putututu, kaunyaka

Lililizilawa, nakutaka

Wanasema unaringa, wewe unaringa

Wanasema unaringa, ringa ringa we ringa (x2)

No comments:

Post a Comment