Tuesday, July 12, 2016

IWEJE lyrics by Pilipili

Chorus
Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Verse 1
moyo wangu baby unakuita
lakini bado wewe unasita
mbona wasikiza wale
wanishikisha nare
uwongo kwangu baby ulikwisha
taji, pete kakuvisha
mbona uwasikize wale
wanishikisha nare
mapenzi ninakupa
na wewe wanitupa
story wanazokupa
naomba unielewe

Chorus
Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Verse 2
ona kila mara watapiga
wakitaka penzi letu kulipinga
watupilie mbali
na tusonge mbele
kwenye jangwa nakuahidi sitakuwacha
hata kama mambo yangu yatachacha
watupilie mbali
na tuvuke kware
usiwache wasumbue
usiwache wakuambie
naomba ujue
yaani hao ni kundule

Chorus
Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Verse 3
nakuzimia
ninakuambia, nakuambia
kwa mdomo, hebu sikia
ewe my dear

nakuzimia
ninakuambia, nakuambia
kwa mdomo, hebu sikia
ewe my dear

usiwache wasumbue
usiwache wakuambie
naomba ujue
wee ndio wangu wa milele

Chorus
Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

Iweje mi na wee tukaja tengana
ahadi nyingi ma, nishapeana
nakupenda sana wee
nakupenda sana wewe

No comments:

Post a Comment