[Ben Pol]
Hi baby (hey)
Nina story ilonikwaza (talk to me)
Tena leo hii (mmhh)
Kuna mtu kanieleza
[Alice]
Huishi story, kimekukwaza nini basi nieleze
Kwa upole sema nami moyo wako usiumize
[Ben Pol]
Siku ile (aaha)
Ukasema unakwenda na rafiki
Kwenye kitchen party (That’s right)
Hata mie
Nilitoka nikapiga simu yako ikawa sikupati
[Alice]
Simu yangu (mmh)
Sikumbuki kama nilikwenda nayo
Mume wangu, tuna mambo mengi achana na hayo
[Ben Pol & Alice]
So, umeniona mjinga?
No, sijasema mjinga
So, umeniona mjinga?
No, sijasema mjinga
Kumbe? (wala)
Nini? (aa ah)
Au nimekosa kukuuliza? (No no no no noo)
Baby this is serious
Wala mi sifanyi utani (tell me)
[Ben Pol & Alice]
Wangu waubani
Sina mwingine kwangu ni wewe
Nakupatia (moyo wangu)
Nafurahia (penzi lako)
Wangu waubani
Sina mwingine kwangu ni wewe
Nakupatia (moyo wangu)
Nafurahia (penzi lako)
[Alice]
Natamani nipate uwezo
Nikufungulie moyo wangu uone baby
Ni jinsi gani nakuhitaji nakupenda nakuthamini
[Ben Pol]
Uuuh nami sijiwezi kwa hilo penzi lako
Uuuh kwa uzuri wako nahisi naweza ibiwa
[Alice]
Wengi wanasema, Uuuuh baby
Furaha yao watutie machunguuu
[Ben Pol]
Kidogo cha leo, kikubwa cha kesho
Amini kati yetu kuna kitu special
Usiniache hata kama nimekukwaza
Nieleze baby
[Alice]
My love nitakupa milele
Una nafasi kwangu, tena ya pekee eeh
[Ben Pol & Alice] x2
Wangu waubani
Sina mwingine kwangu ni wewe
Nakupatia (moyo wangu)
Nafurahia (penzi lako)
Wangu waubani
Sina mwingine kwangu ni wewe
Nakupatia (moyo wangu)
Nafurahia (penzi lako)
Uuuh uuh uuu
No comments:
Post a Comment