Thursday, July 14, 2016

BADILISHA lyrics by Jose Chameleon

I got to go badilisha

And let you go

CHORUS
Unaniumiza sana ninateseka

Ndani moyoni mimi naumwa

I got to go kangende

And let you go sitaweza

Nimevumilia sana

Hutaki change

Naona umeshindwa

Kubadilisha

I got to go Kankupowe

And let you go Mukwano onumya

Verse 1
Pete ya harusi ninayo kidole

Nilikupenda but baby sorry

Utapata mwengine dont you worry...ahaaaa

Watoto tumezaa tunao tayari

Tulipanga mi na we mileli

Lakini ni nini nini unanichanganya

Maisha wote wawili tulipanga

Shida ni nyingi hatujakosana

Haingekua hivi unapendwa, na hupendi mpenzi tu'achane na hivyo hilivyo

CHORUS

Unaniumiza sana ninateseka

Ndani moyoni mimi naumwa

I got to go kangende

And let you go sitaweza

Nimevumilia sana

Hutaki change

Naona umeshindwa

Kubadilisha

I got to go Kankupowe

And let you go Mukwano onumya

Verse 2
Hi ni bahati unaempenda sana popote alipo

Aitwe tapeli, hajakula za muntu anakula zake zipo

Nipe changu na mi nikupe chako

Kama hunipendi hili ni vako

We got alot of issues to settle

Pamoja tuende mu settle

Love me baby i will love you back

Scratch my back i will scratch your back

Not this way unapendwa, hunipendi!

CHORUS
Unaniumiza sana ninateseka

Ndani moyoni mimi naumwa

I got to go kangende

And let you go sitaweza

Nimevumilia sana

Hutaki change

Naona umeshindwa

Kubadilisha

I got to go Kankupowe

And let you go Mukwano onumya

Verse 3

Tuliamua tuwe together

Mimi na we tuwe forever

Ahadhi yetu ya mimi nawewe na watoto wetu

Tupambane shida zote za nyumbani tuzimalize now!

Girl every woman for a man

Love me i love you back and thats what ah gwaan

Girl it's another tune done

Mi sing a bagga tunes and this one go along

Girl never worry about it

Every time i come with a bag of sweetness

This one Paddy, Chameleone and the music empire

CHORUS
Unaniumiza sana ninateseka

Ndani moyoni mimi naumwa

I got to go kangende

And let you go sitaweza

Nimevumilia sana

Hutaki change

Naona umeshindwa

Kubadilisha

I got to go Kankupowe

And let you go Mukwano onumya

No comments:

Post a Comment